Huddah
ni mrembo kutokea Kenya ambapo umaarufu wake ulipata uzito mkubwa baada
ya kuiwakilisha nchi yake kwenye shindano la Big Brother Africa, May 3
2015 alipita kwenye studio za Millard Ayo Dar es salaam na kufanya hii Interview, hii ni Part 1, part II itafata hivi karibuni akielezea ukweli wake na Prezzo pamoja na kinachompa pesa.Huddah alipopita kwenye studio ya Millard Ayo, alianzia wapi? kwanini hakutokea White Party baada ya kufika Dar?
Huddah
ni mrembo kutokea Kenya ambapo umaarufu wake ulipata uzito mkubwa baada
ya kuiwakilisha nchi yake kwenye shindano la Big Brother Africa, May 3
2015 alipita kwenye studio za Millard Ayo Dar es salaam na kufanya hii Interview, hii ni Part 1, part II itafata hivi karibuni akielezea ukweli wake na Prezzo pamoja na kinachompa pesa.
Post a Comment