0


7nmWiki iliyopita yalitangazwa majina ya wale waliofanikiwa kuingia kwenye mashindano ya Tanzania Music Awards,Jumatatu Mei 04 wamekutanishwa kwa ajili ya semina kabla ya wananchi kuanza kupiga kura.
Hizi ni baadhi ya picha za wateule ambao wameteuliwa kuwania nafasi mbalimbali kwenye tuzo hizi ambapo siku hii pia Wateule wameitumia kumuimbia na kumtakia heri ya kuzaliwa Bi.Khadija Kopa.
10nm
11nm
5nm
Mrisho Mpoto ‘Mjomba’
12nm
Vanessa Mdee na Nikki wa pili.
16nm
Barakah Da Prince na Man water.
19nm
Joh Makini na Damian Soul.
55nm
Fid Q.
51nm
George Kavishe kutoka TBL.
50nm
39nm
Muongozaji Taji Liundi.
66nm
Mzee Yusuph akiwa kambeba Bi.Khadija Kopa wakati akiimbiwa wimbo wa Happy Birthday..
54nm

Post a Comment

 
Top