0


Mvua 
Mvua imekua ikinyesha mfululizo kwenye jiji la Dar es salaam ambapo kwenye sehemu nyingi Madimbwi ndio yanayoonekana, yani maji yamesimama na hata mtu anaweza kuzama asipokuwa makini.
Lakini wakati hayo yote yakiendelea, kuna upande mwingine wa vituko huku tunakoishi… bila kujali haya maji yana madhara gani, jamaa mmoja amenaswa akijitupa kwenye dimbwi yani kama yuko kwenye swimming pool, tazama video yake hapa chini.

Post a Comment

 
Top